coming soon

coming soon

Wednesday, January 9, 2013

BONGO MOVIE NA BONGO FLEVA SIYO - KITALE.

Mussa Yusuf
                               Kitale Komediani kutoka Swahiliwood      
 
 
 
MWIGIZAJI wa filamu na Komedi Mussa Yusuf ‘Kitale’ amaewashukia wasanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya Bongo fleva kwa kusema ni wanafiki hawana urafiki wa ukweli kati yao msanii huyo alisema hayo kufuatia kuzorota kwa arobaini ya rafiki yake kipenzi marehemu Hussein Mkiety ‘Sharomilionea’ kuhudhuriwa na wasanii wachache na kuchangiwa na watu watano tu.

Hussein Mkiety
Marehemu Sharomilionea enzi za uhai wake.
 
Mussa Yusuf
                                  Kitale akiwa katika pozi.

No comments:

Post a Comment