coming soon

coming soon

Monday, December 24, 2012

IMG_0392

Rafa Benitez aanza tambo

By Salim salu on December 24, 2012

*Chelsea wawakung’uta Aston Villa 8 – 0

*Man United waambulia sare Swansea

Wakicheza kwa tambo zilizokosekana tangu kuanza msimu huu, Chelsea wamepata ushindi wa kihistoria, baada ya kuwabandika Aston Villa mabao 8-0.
Kwa ushindi huo wamepanda hadi nafasi ya tatu, lakini wakiwa umbali wa pointi 12 kuwafikia Manchester United wanaoongoza ligi hiyo.
United wangeweza kutanua pengo la pointi na kuwa sita dhidi ya wanaoshika nafasi ya pili, Manchester City.
Hata hivyo, vijana hao wa Alex Ferguson walibanwa vilivyo huko Wales, walikocheza na Swansea na kuambulia sare ya bao 1-1.
United walitangulia kufunga kupitia beki Patrice Evra kwa kichwa, lakini bao hilo lilirudishwa na mchezaji mwenye makeke, Michu, aliyefunga baada ya kosa kosa nyingi.
Kocha wa muda wa Chelsea, Rafa Benitez amepokea ushindi huo mnono kwa furaha, akitamba ni mafunzo yake yaliyowabadilisha wachezaji.
“Unaona wazi sasa timu imeboreka, kwa jinsi hii tutajaribu kupunguza pengo kadiri itakavyowezekana. Siku zote ushindi ni kitu cha pekee, lakini kubwa ni kuona timu ikisonga mbele na kuwa nzuri.
“Kila siku mazoezini tunarekebisha vitu vidogo vidogo na vinaonekana wazi sasa. Wachezaji wanajituma hasa, wanajifunza, wanaelewa, wanajiamini na wanashinda.
“Iliyopo sasa ni kufanya ushindi huu uwe endelevu, tuendelee kushinda mechi zetu na hapo itakuwa rahisi kwangu kutuma ujumbe kote kote kwamba sisi ni washindani wa kweli,” akasema bosi huyo aliyeanza kazi mwezi uliopita.
Hakuacha kummwagia sifa Mhispania mwenzake, Fernando Torres aliyefunga bao lake la 13 msimu huu, ambaye ndiye alifungua karamu ya mabao leo.
“Kama mshambuliaji, alitakiwa kufunga mabao…timu inafanya vizuri, naye sasa ana nafasi zaidi na anajiamini kwa vile anafunga,” akasema.
Wakicheza nyumbani Stamford Bridge, Chelsea walipata bao dakika ya tatu tu, ambapo hadi mapumziko walishapachika matatu, kupitia kwa David Luiz na Branislav Ivanovic.
Kaimu nahodha, Frank Lampard alipata bao lake la 500 katika ligi kuu, kabla ya Ramires kufunga mawili kisha Oscar na Eden Hazard kumalizia shughuli.
Ushindi huu ulikuwa muhimu kwa Benitez, kwani ni wa kwanza nyumbani tangu alipoanza kazi, ambapo ilikuwa kawaida kuzomewa kila wakifanya vibaya.
Ushindi huu unafanana na waliopata Chelsea dhidi ya Wigan mwaka 2010, ambapo rekodi kubwa hadi sasa inashikiliwa na Manchester United waliowafunga Ipswich Town mabao 9-0 mwaka 1995.
United hao walipoteza nafasi nyingi za kufunga, hata alipoingia super sub, Chicharito, na jitihada za Robin van Persie hazikuzaa matunda yoyote, zaidi ya kuishia kuzozana na wachezaji wa timu pinzani na kuambulia kadi ya njano.
Ferguson anaomba nahodha wa Swansea, Ashley Williams afungiwe kwa muda mrefu, akidai angeweza kumuua RVP, kwa kumpiga na mpira kwa nguvu kichwani alipokuwa amelala chini.
Ferguson amemlalamikia mwamuzi Michael Oliver, huku akisema Swansea wana bahati, kwa sababu waliwapelekesha sana.

Monday, December 17, 2012

USIKU WA KOFFI OLOMIDE NDANI YA LEADERS CLUB

Mashabiki wa mwanamziki Kofii Olomide wakishangilia kwa furaha wakati mwanamuziki Kofii Olomide akiimba jukwaani.
 
 Kofii Olomide akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Steve Gannon wa pili kutoka kushoto na Mkurugenzi wa Masoko Bw. Ephraim Mafuru pamoja na wafanyakazi wengine.
koffi Olomide akionyesha vitu vyake kwenye stage baada ya kuwasili ndani ya viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. 
   Wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide wakimwaga mauno jukwaani usiku wa kuamkia leo.
 Hapo Mkurugenzi wa Cloud media group Bw.Joseph Kusaga akiongea machache jana baada ya Koffi Olomide kutoa burudani ya uhakika kwa mashabiki wa muziki wa dance.
      Mashabiki wa muziki wa dance wakionyesha mambo yao baada ya Koffi Olomide kupanda jukwaani.

  Koffi Olomide akifanya vitu vyake katika jukwaani.
Mwimbaji wa Koffi Olomide maarufu kama Cindy akiimba kwa hisia baada ya Koffi Olomide kumtambulisha kwa mashabiki wa Dance

Wednesday, November 28, 2012



STAR TV YAIBUA TUHUMA NZITO ZA NGONO KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ( UDOM)

 
 
 
 

Taarifa ya habari ya Star tv ya saa mbili usiku ya tarehe 23/11/2012 imeeleza kuwa wanafunzi wa kike katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wanadaiwa kufanya biashara ya ukahaba katika maeneo mbalimbali ya starehe mjini Dodoma!

Habari hii inasikitisha hasa ukizingatia umuhimu wa wasomi hawa katika Tanzania na hatari inayoweza kuwapata kama taarifa hii ina ukweli.


Kama jamii tujiulize, tatizo ni nini mpaka mtu wa level kama hiyo kuamua kuvaa vichupi na kujiuza kwenye clubs na sehemu zingine??

CHUO KIKUU cha Dodoma UDOM kinadaiwa kukumbwa na kashfa ya ngono kufuatia madai kwamba baadhi ya wananafunzi wa kike wanajihusisha na biashara ya kuuza miili yao kwa lengo la kujikimu kimaisha.


Tuhuma hizo zimebainika wakati wa mahafali ya tatu ya UDOM huku takribani wahitimu 6392 wakitunukiwa vyeti,stashahada,shahada za kwanza,uzamili na shahada za uzamivu.


Chuo Kikuucha Dodoma ambacho kilianzishwa rasmi mwezi machi mwaka 2007 kimejipatia sifa kemkekm za kitaaluma licha ya ukweli kwamba bado ni kigeni machoni pa wengi.


Tuhuma za ngono miongoni mwa wanafunzi wa kike zinadaiwa kusababishwa na ukata hatua inayowalazimu kutoroka chuoni nyakati za usiku na kujiunga na baadhi ya wasichana wa mitaani waliokubuhu kwenye ukahaba maarufu kama machangudoa kwa lengo la kujiuza.


Wakizungumza na star tv wakati wa mahafali hayo baadhi ya wahitimu wanathibitisha uwepo wa vitendo hivyo vilivyo kinyume na maadili.


Kutokana na kukithiri kwa vitendo hivyo Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof.Idris Kikula anatoa onyo kali kwa wote watakaobainika.


Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Rais Mstaafu Benjamin Mkapa amenukuliwa kwa nyakati tofauti akisisitiza suala la maadili chuoni hapo hatua inayodaiwa kupuuzwa na wanaojihusisha na vitendo hivyo.

AUDIO: KAMANDA WA POLISI TANGA ATOA UFAFANUZI KUHUSU KIFO CHA SHARO MILIONEA





Namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la Maguzonizonga wilayani Muheza hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”

Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei










AUDIO: KAMANDA WA POLISI TANGA ATOA UFAFANUZI KUHUSU KIFO CHA SHARO MILIONEA



Namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la Maguzonizonga wilayani Muheza hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”

Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei
 








WASANII WATOA NYIMBO MBILI ZA HUZUNI SANA WAKIMLILIA MSANII SHARO MILIONEA....

DOWNLOAD WIMBO HUU WA MAOMBOLEZO

Tunda Man ft. Mirror & Raymond - R.I.P Sharomilioner

Huu ni wimbo ambao kiukweli umenitoa machozi



Huu chini ni Wimbo ambao umefanywa na producer monagangstar....

Waliofanya hii ngoma ni DOGO JANJA,PNC KUTOKA MTANASHATI/.OSTAZ JUMA NAMUSOMA) ,STAMINA,COUNTRY BOY MTU CHEE,NAY WA MITEGO,SAPRANO,SUMA MNAZALETI,ELLY NIZO,BRIGHT,MAKOMANDO WAZEE WA KIBEGA,N,K

DOWNLOAD WIMBO HUU.NI WIMBO WA MAOMBOLEZO
 
TASWIRA MBALIMBALI ZA GARI ALILOPATA NALO AJALI MSANII SHARO MILIONEA NA JINSI UMATI WA WANANCHI ULIVYOFURIKA NJE YA CHUMBA CHA MAITI HOSPITALI TEULE YA MUHEZA

Gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.
Baadhi ya watu wakiliangalia gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.

Gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.
Mbunge wa Jimbo la Muheza Hebert Mtangi akiwasili nje ya jengo la Chumba cha Kuhifadhia Maiti cha Hospitali ya Teule Muheza kwa ajili ya kushuhudia mwili wa msaniii Sharo Millionea aliyekufa katika ajali ya gari wakati akitoka Dar es Salaam kwenda Lusanga, Muheza mkoani Tanga, ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Kijiji cha Songa Kibaoni .
Wakazi wa wilaya ya Muheza na maeneo mengine wakiwa wamefurika nje ya Chumba cha Maiti cha Hospitali Teule Muheza, kusubiri kushuhudia mwili wa Sharo Millionea, aliyefariki kwa ajali ya gari

Wednesday, July 18, 2012


Hatimaye video ya wimbo Party Zone kutoka kwa AY akiwa amemshirikisha Marco Chali(producer ambaye siku hizi anaanza kuja juu kwa utundu mwingine ndani ya muziki) imetoka.Inasemekana kuwa mojawapo ya video za gharama kubwa kabisa zilizowahi kufanyika miongoni mwa wasanii wetu

AJALI YA MELI YA SEAGULL , KATI YA ABIRIA 250 WALIKUWEMO 124 WAOKOLEWA

Waziri Dkt Nchimbi
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dkt Emanuel Nchimbi amesema kuwa kati ya abiria zaidi ya 250 walikuwemo katika meli hiyo tayari abiria 124 wameokolewa wakiwa hai na jitihada za uokoaji zinaendelea japo kuna utata zaidi juu ya idadi ya watu waliopoteza maisha kwani mitandao ya kijamii inaripoti kuwa ni watu zaidi ya 60 wamepoteza maisha ila waziri amedai ni watu saba pekee.

Kwa tarifa zaidi endelea kuwa nasi.

Sunday, June 17, 2012



HATIMAE P SQUARE KUACHIA GOMA JIPIA AMBALO WAMEMSHIRIKISHA RICK ROSS AKA THE BIG BOSS

Saturday, June 9, 2012

                                             LAND ROVER DISCOVERY V8 INAUZWA

                                       Bei maelewano we mwenyewe uta furahi, kwa mawasiliano za wasiliana     
                                                     nami kupitia namba hii.. 0716368789.
                                             




Mrembo huyo ni  Miss Akuot Philip Suzan (20)  mwenye urefu wa futi 6.1 anaekaa Juba, Sudan  ni mwanamitindo nchini humo na anatarajia kujiunga na Chuo Kikuu Cha Makerere Nchini Uganda mwaka huu.
Warembo ambao tayari wameshapatikana kutoka katika Nchi mbalimbali kwa ajili ya mashindano hayo ni mwakilishi wa Eritrea: Miss Rahwa Afeworki (22), kutoka Ethiopia ni: Miss Lula Teklehaimanot (19) na Miss Ayisha Nagudi (23) ambae ni mwakilishi wa Uganda.
Nchi zilizobaki zinaendelea kutafuta wawakilishi watakaoziwakilisha Nchi zao katika mashindano ya Miss East Africa 2012 ambayo yatazishirikisha Nchi 16 za ukanda huu ambazo ni Tanzania (wenyeji), Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Nchi zingine ni Southern Sudan, Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia pamoja na visiwa vya Mauritius, Madagascar, Comoros, Reunion na Seychelles.
Mashindano ya Miss East Africa ndio mashindano makubwa ya urembo kwa ukanda huu wa Africa.
Fainali za mashindano ya Miss East Africa ambazo huandaliwa na kumilikiwa na Kampuni ya Rena Events Ltd, zitafanyika tarehe 07 mwezi September mwaka huu jijini Dar es salaam, Tanzania

Taarifa ambazo zimetufikia muda si mrefu uliopita zinapasha kwamba Mwanasiasa mkongwe nchini,mwanasheria na miongoni mwa waasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Bob Makani, amefariki jioni hii katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar-es-salaam.Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi.
Tutaendelea kuwaleteeni habari zaidi kadiri tunavyozidi kuzipata.

Tuesday, April 3, 2012

CRISTIANO RONALDO VS LIONEL MESSI - MWEZI WA 3




LA LIGA: ROUND 25

vs
SPORTING GIJON
March 3
Camp Nou
RESULT Barcelona 3-1 Sporting Gijon
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played  -
Goals  -
Assists  -
Shots  -
Shots on goal  -
Passes  -
Passes completed   -
 
N/A

Messi alikuwa kasimamishwa hii mechi ya kufikia kuwa na idadi kubwa ya kadi za njano.




vs
Espanyol
ESPANYOL
March 4
Santiago Bernabeu



RESULT Real Madrid 5-0 Espanyol
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 93
Goals 1
Assists 0
Shots 9
Shots on goal 3
Passes 42
Passes completed 31

7.0
'Put Madrid ahead with a fine finish as he slid a slow shot into the corner from an awkward standing position and played a part in the second as well. Set up Higuain for a wonderful chance which the Argentine should have buried and missed a good chance himself late on. Participative and constantly dangerous, he now has 30 Liga goals.'
TICS
LA LIGA: ROUND 26




vs

RACING SANTANDER
March 11
El Sardinero


RESULT Racing 0-2 Barcelona
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 94
Goals 2
Assists 0
Shots 9
Shots on goal 4
Passes 73
Passes completed 57
 
8.0
Top of the Match
'Not his best performance but two more goals and it's now 50 this season, capping a sensational seven days in which he also scored five against Leverkusen. Linked up well with Cesc in particular and came close with a free kick. Was also denied by Mario in the first half and saw a late effort blocked by Alvaro.'




vs
Betis
REAL BETIS
March 10
Benito Villamarin


RESULT Real Betis 2-3 Real Madrid
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 93
Goals 2
Assists 0
Shots 10
Shots on goal 6
Passes 27
Passes completed 19
 
8.0
Top of the Match
'Should have scored just before half-time but his touch let him down when through on goal and was relatively anonymous in the first period. However, he came back from this in true Ronaldo style and won the game for his side with a neat finish and a volley to earn himself a decisive double in what could be a huge win.'

LA LIGA: ROUND 27



vs
Sevilla
SEVILLA
March 17
Ramon Sanchez Pizjuan



RESULT Sevilla 0-2 Barcelona
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 94
Goals 1
Assists 0
Shots 3
Shots on goal 1
Passes 59
Passes completed 53

7.5
'Scored his 150th La Liga strike with a truly magical goal in the first half. Left Spahic for dead with a cheeky nutmeg on the edge of the box before majestically chipping the ball over Palop into the top corner. His touch was typically assured and left Sevilla attempting to foul him simply to stop him.'





vs
Malaga
MALAGA
March 18
Santiago Bernabeu



RESULT Real Madrid 1-1 Malaga
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 94
Goals 0
Assists 1
Shots 3
Shots on goal 2
Passes 43
Passes completed 34
 
6.5
'Saw his lobbed effort blocked early on. Appealed for a penalty after he went down under pressure from Camacho, but it was nothing. Played a great one-two with Benzema after that, but the Frenchman shot wide. Linked up well with the striker and his cross for the first goal was glorious, but should then have made it 2-0 in the second half, although his curler was brilliantly saved by Caballero.'

LA LIGA: ROUND 28






vs
Granada
GRANADA
March 20
Camp Nou




RESULT Barcelona 5-3 Granada
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 93
Goals 3
Assists 1
Shots 6
Shots on goal 5
Passes 76
Passes completed 63
 
9.0
Top of the Match
'There was only going to be one winner of top honours here, after a performance that saw him bag yet another treble and become the Blaugrana’s all-time leading goalscorer. Three exquisite finishes aligned to a great playmaking display snuffed out the Granada comeback and gave his side a crucial three points in their outside hopes for a fourth successive title. The night, and the record books, belong to him. 234 goals, and many more are sure to come.'


vs
Villarreal
VILLARREAL
March 21
El Madrigal

RESULT Villarreal 1-1 Real Madrid
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 95
Goals 1
Assists 0
Shots 10
Shots on goal 3
Passes 43
Passes completed 35

7.5
'Stung Diego Lopez's palms with a low free-kick from an acute angle in the 33rd minute, later sparking to life to score a magnificent opening goal and underlined his explosive style. A constant threat.'

LA LIGA: ROUND 29




vs
Mallorca
MALLORCA
March 24
Iberostar Estadi



RESULT Mallorca 0-2 Barcelona
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 95
Goals 1
Assists 0
Shots 9
Shots on goal 2
Passes 68
Passes completed 51
  RATING
7.5
Top of the Match
'The Argentine looked below his best early on but tested Dudu with a shot the goalkeeper saved with his face. Then gave Barca the lead with a curling free kick which Alexis looked to have touched, while his shot against the post set up Pique for the second of the evening.'



vs

REAL SOCIEDAD
March 24
Santiago Bernabeu



RESULT Real Madrid 5-1 Real Sociedad
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 82
Goals 2
Assists 0
Shots 7
Shots on goal 3
Passes 38
Passes completed 27
  RATING
8.0
'Netted his 100th and 101st league goals for Real Madrid this evening and looked at his best as he terrorised Sociedad. Scored his first goal with expert composure with a lovely finish into the bottom corner and grabbed his second with a typically determined run into the box to finish from close range.'

LA LIGA: ROUND 30



vs

ATHLETIC BILBAO
March 31
Camp Nou


RESULT Barcelona 2-0 Athletic
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 91
Goals 1
Assists 1
Shots 6
Shots on goal 4
Passes 70
Passes completed 54
  RATING
7.0
'Knew he was in a match tonight. Had an interesting battle with Javi Martinez in which both got the better of each other on different occasions. Still managed to go on a number of probing runs through the middle which saw Athletic on the ropes. Scored a cool penalty to seal the win for his side.'



vs

OSASUNA
March 31
Reyno de Navarra


RESULT Osasuna 1-5 Real Madrid
INDIVIDUAL MATCH STATS
Minutes played 92
Goals 2
Assists 2
Shots 4
Shots on goal 3
Passes 35
Passes completed 27
  RATING
8.5
Top of the Match
'Grabbed two brilliant assists with his left foot as he set up Benzema and Higuain, but also scored two of his own, one with a stunning 40-yard drive and another with a deflected free kick. He also came close on a couple more occasions. Near his brilliant best.'

MARCH STATISTICS
         

467 MINUTES PLAYED 549
8 GOALS 8
2 PENALTIES 0
2 ASSISTS 3
33 / 16 (48.5%) TOTAL SHOTS / ON GOAL 43 / 20 (46.5%)
346 / 278 (80.3%) PASSES / COMPLETED 229 / 173 (75.5%)
7.8 GOAL.COM
AVERAGE RATING
7.6
36 2011-12 LA LIGA GOALS 37
56 (48) 2011-12 COMPETITIVE GOALS (APPEARANCES) 47 (44)