Sunday, June 17, 2012
Saturday, June 9, 2012
Waziri wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dk Fenella Mkangalla Kikosi Cha Timu ya Twiga Stars Kinayotarajiwa Kucheza Mchezo wa Marudiano na Timu ya Ethiopiia.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangalla
akisalimiana na mmoja wa Kamanda wa kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa
cha Ruvu JKT wakati alipokwenda kutembelea kikosi cha Timu ya Tiwiga
Stars kinayotarajiwa kucheza mchezo wa marudiano na timu ya Ethiopiia.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangalla
akisalimiana na Kaimu Kamanda wa Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga
Taifa (JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya.

Kulia kwake ni Kaimu Kamanda wa Kambi
ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya
na kushoto kwake ni Luteni Rhoda Matonya.

Dkt. Fenela Mkangalla akiteta
jambo na Kaimu Kamanda wa Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa
(JKT) cha Ruvu Meja Alex Kakwaya wakati alipokwenda kutembelea kikosi
cha Timu ya Twiga Stars kinachotarajiwa kucheza mchezo wa marudiano na
timu ya Ethiopiia.
Kaimu
Kamanda wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa cha Ruvu (JKT ) Meja Alex
Kakwaya akijaribu kuongea jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo
Bi. Juliana Yassoda wakati ugeni wa Wizara ulipokwenda kutembelea
kikosi cha Timu ya Twiga Stars kilichopo mazoezini kujiandaa na mchezo
wa marudiano na timu ya Ethiopia kwenye kambi ya Kikosi cha Ruvu JKT.
Baadhi ya Wachezaji wa Kikosi cha Timu ya Taifa ya Twiga Stars
wakimsikiliza Mheshiiwa Dkt Fenella Mkangala wakati alipowatembelewa
kwenye kambi ya Kikosi cha Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa Ruvu JKT
jana
Mrembo huyo ni Miss Akuot Philip Suzan (20) mwenye urefu wa futi
6.1 anaekaa Juba, Sudan ni mwanamitindo nchini humo na anatarajia
kujiunga na Chuo Kikuu Cha Makerere Nchini Uganda mwaka huu.
Warembo ambao tayari wameshapatikana kutoka katika Nchi mbalimbali
kwa ajili ya mashindano hayo ni mwakilishi wa Eritrea: Miss Rahwa
Afeworki (22), kutoka Ethiopia ni: Miss Lula Teklehaimanot (19) na Miss
Ayisha Nagudi (23) ambae ni mwakilishi wa Uganda.
Nchi zilizobaki zinaendelea kutafuta wawakilishi watakaoziwakilisha
Nchi zao katika mashindano ya Miss East Africa 2012 ambayo
yatazishirikisha Nchi 16 za ukanda huu ambazo ni Tanzania (wenyeji),
Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Nchi zingine ni Southern Sudan,
Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia pamoja na visiwa vya Mauritius,
Madagascar, Comoros, Reunion na Seychelles.
Mashindano ya Miss East Africa ndio mashindano makubwa ya urembo kwa ukanda huu wa Africa.
Fainali za mashindano ya Miss East Africa ambazo huandaliwa na
kumilikiwa na Kampuni ya Rena Events Ltd, zitafanyika tarehe 07 mwezi
September mwaka huu jijini Dar es salaam, Tanzania

Taarifa ambazo zimetufikia muda si mrefu uliopita zinapasha kwamba Mwanasiasa mkongwe nchini,mwanasheria na miongoni mwa waasisi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Bob Makani, amefariki jioni hii katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar-es-salaam.Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi.
Tutaendelea kuwaleteeni habari zaidi kadiri tunavyozidi kuzipata.
Subscribe to:
Posts (Atom)