Hii si story ya movie ila ni ukweli kabisa imetokea wakati wa kushoot filamu ya WILLIAM MTITU ambapo vijana hao walijikuta wakizichapa.
Awali watu hawa walikuwa ndani ya BEEF zito sana na baadae wakaja kupatana na kukutanishwa katika filamu moja lakini katika hali isiyotegemewa wamejikuta wakizidunda mbele za watu (WAKIPIGANA)
No comments:
Post a Comment