Wednesday, August 17, 2011
jackie chan kuzushiwa kufa
asubuhi ya leo kumevuma uzushi ya kwamba jackie chan umefaliki . uzushi huo ulianza jumanne usiku katika mitandao ya facebook na twitter. jackie chan ni mzima wa afya na kumekua hakuna muendelezo wowote wa habari hiyo katika facebook na twitter. sio mara ya kwanza kwa jackie chan kuzushiwa kwani hata mwezi machi pia alizushiwa kufaliki.
Tuesday, August 16, 2011
MAMBO YA JUMA NATURE na LIL KIM




HEMED NA YUSUPH MLELA WAZIDUNDA KIUKWELI

Awali watu hawa walikuwa ndani ya BEEF zito sana na baadae wakaja kupatana na kukutanishwa katika filamu moja lakini katika hali isiyotegemewa wamejikuta wakizidunda mbele za watu (WAKIPIGANA)
Subscribe to:
Posts (Atom)