coming soon

coming soon

Wednesday, July 18, 2012


Hatimaye video ya wimbo Party Zone kutoka kwa AY akiwa amemshirikisha Marco Chali(producer ambaye siku hizi anaanza kuja juu kwa utundu mwingine ndani ya muziki) imetoka.Inasemekana kuwa mojawapo ya video za gharama kubwa kabisa zilizowahi kufanyika miongoni mwa wasanii wetu

AJALI YA MELI YA SEAGULL , KATI YA ABIRIA 250 WALIKUWEMO 124 WAOKOLEWA

Waziri Dkt Nchimbi
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dkt Emanuel Nchimbi amesema kuwa kati ya abiria zaidi ya 250 walikuwemo katika meli hiyo tayari abiria 124 wameokolewa wakiwa hai na jitihada za uokoaji zinaendelea japo kuna utata zaidi juu ya idadi ya watu waliopoteza maisha kwani mitandao ya kijamii inaripoti kuwa ni watu zaidi ya 60 wamepoteza maisha ila waziri amedai ni watu saba pekee.

Kwa tarifa zaidi endelea kuwa nasi.